Monday, May 30, 2011

TOSAMAGANGA HALI SI SHWARI


Polisi wakiwaweka chini ya ulinzi wanafunzi eneo la Kitwiru nje kidogo na manispaa ya Iringa hapo ilikuwa ni kabla ya kuanza kupiga kurusha mabomu ya machozi.

Mwanakijiji kushoto akiwa na mwandishi wa habari wa Radio Ebony Fm wakifuta machozi kutokana na mabomu yaliyopigwa na askari hao kuwatawanya wanafunzi hao
Mwandishi wa habari wa radio Ebony Fm akikimbia moshi ya mabomu ambayo yalikuwa yakipigwa na askari hao kutawanya wanafunzi hivi punde
Wanafunzi wa Sekondari ya Tosamaganga wakikimbia moshi ya mabomu yaliyokuwa yakipigwa na polisi
Hapa wakikimbia porini kunusuru afya zao chini ni vifaa vya wanafunzi vilivyotelekezwa

Hali ya usalama si shwari katika shule ya sekondari Tosamaganga wilaya ya Iringa mkoani Iringa hivi sasa wanafunzi zaidi ya 10000 wapo porini wakikimbizwa na polisi wa kikosi cha kutuliza ghasia ambao wanatumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanafunzi hao ambao walikuwa katika maandamano ya amani kwenda ofisi ya mkuu wa mkoa wa Iringa kuulalamikia uongozi wa shule hiyo.

Hadi hivi saa mabomu zaidi ya 10 ya machozi yamepigwa kuwatawanya wanafunzi hao ambao baadhi yao wanadaiwa kujeruhiwa kwa kuchomwa na miti wakati wakikimbia porini kukwepa mabomu hayo huku wananchi wa Mseke wakikimbia nyumba zao .

Polisi wamewazuia waandishi wa habari akiwemo mmiliki wa mtandao huu wa www.francisgodwin.blogspot.com ambao waliokuwepo eneo hilo wakifuatilia tukio hilo kuendelea kuchukua habari hiyo .

Undani wa habari hii ya picha zaidi zitakujia hivi punde katika mtandao  wa www.francisgodwin.blogspot.com,japo kwa sasa binafsi macho yanauma sana kutokana na moshi ya mabomu hayo kunikuta pamoja na mwanahabari mwenzangu wa Radio Ebony Fm japo



chanzo cha habari wanabidiigroup, chanzo halisi www.francisgodwin.blogspot.com 

Saturday, May 28, 2011

THE MOST PROFITABLE SMALL BUSINESSES---BY FORBES MAGAZINE

 

The Most Profitable Small Businesses

Remember the dotcom bubble? You know, that wacky window in the late ’90s when profitless technology companies scored billion-dollar valuations like bouquets on Valentine’s Day. This isn’t 1999, but the tech sector is getting frothy. Hot targets of late: Facebook, Groupon, 3Par, Huffington Post, among others. This time, at least, the beneficiaries are generating some profits–and profits are ultimately the basis for what any company is worth to investors in the long run.
To bring things more down to earth, we decided to assess the profit-making ability of small businesses in a variety of more traditional industries.
With the help of Sageworks, a Raleigh, N.C.-based accounting consultancy and private-company data provider, Forbes assembled a list of the 20 most profitable types of businesses, on a pretax basis. At No. 1: offices of Certified Public Accountants, with an average pretax margin of 16.5%. Offices of physicians (except mental health specialists), which clock an average 10.4% margin, brought up the rear.
The data are drawn from financial statements on nearly 300,000 companies, most with under $10 million in annual revenue, and bucketed by five- and six-digit North American Industry Classification System codes. The figures were gathered between Jan 1, 2003 and Jan 1, 2011, to capture an entire business cycle. To be considered, each category included at least 100 companies. (Banks were excluded from the analysis, as their accounting methods are not comparable to other industries’.)
Here is a list of the 20 most-profitable industries and their average pretax margins:
1. Offices of Certified Public Accountants
Average Pretax Margin, 2003-2010: 16.5%
The most profitable niche of the bunch enjoys a nice mix of pricing power (everybody needs accountants, no matter how the economy is doing), low overhead and marketing scale, thanks to plenty of repeat clients.

2. Offices of Chiropractors: 15.3%
Some question the medicinal value of their service. Hard to question their financial performance, though.

3. Freestanding Ambulatory Surgical and Emergency Centers: 15%
Services include orthoscopic and cataract surgery on an outpatient basis; setting broken bones, treating lacerations, or tending to patients suffering injuries as a result of accidents, trauma or other problems that need immediate attention. These facilities include operating and recovery rooms, and specialized equipment, such as anesthetic or X-ray machines. In short: If a big rock falls on your leg, you’re going to find a way to fix it–fast. (For more on the economics of the air ambulance business, check out Rescue Helicopters Elevate Profits.)

4. Other Accounting Services: 14.9%
Various accounting, bookkeeping, billing and tax preparation services in any form, handled not necessarily by a Certified Public Accountant. (See #1.)

5. Offices of Dentists: 14.7%
Dentists enjoy operating scale–that is, they can handle several patients at once. Some of the equipment is expensive, but hygienists don’t cost much. Better yet, a lot of customers pay out of pocket. That gives dentists more pricing power relative to other medical providers.

6. Tax Preparation Services: 14.7%
Who likes paying taxes? Exactly.
7. Offices of Orthodontists: 14.4%
Who likes crooked teeth? Exactly.
8. Offices of Lawyers: 13.4%
Odd that they aren’t higher on the list, given their fees. (For more on how to get the best out of your legal counsel, check out columns by Forbes contributor Robert Bovarnick here.)
9. Sales Financing: 13.3%
These companies are popular in a credit crunch. They lend money for the purpose of providing collateralized goods through a contractual installment sales agreement, either directly from, or through, arrangements with dealers. For more on alternative ways that small businesses can raise quick cash, check out Nine Alternative Ways To Raise Cash Right Now and Where To Find Capital Now.
10. Portfolio Management: 12.2%
11. Drilling Oil And Gas Wells: 12%
12. Offices of Optometrists: 11.5%
13. Lessors of Nonresidential Buildings (except Mini-warehouses): 11.3%
14. Offices of Real Estate Appraisers: 11%
15. Lessors of Miniwarehouses and Self-Storage Units: 11%

16. Insurance Agencies and Brokerages: 11%

17. Other Activities Related To Credit Intermediation: 10.7%

18. Investment Advice: 10.7%
19. Offices of Physical, Occupational and Speech Therapists, and Audiologists: 10.6%
20. Offices of Physicians (except Mental Health Specialists): 10.4%
Thirteen of the top 20 categories involve professional services that require years of training and certification, from healing the sick to balancing financial accounts. Three big perks with professional services: consistent demand, relatively low overhead and what economists call “high switching costs.” (If someone’s been doing your taxes for 20 years, why would you switch?) Little surprise that manufacturing and retail–industries with few economies of scale–didn’t make the cut.
Size matters too, even within the small-company universe. Tiny shops may not require a lot of overhead, but at some point–say, a few million dollars in revenue–the relative level of overhead spikes, crimping margins.
To be fair, these numbers are something of a snapshot, as the profitability of a given industry ebbs and flows with the overall economy. (Some industries get permanently disrupted along the way–just ask those of us in the publishing business.) Another thing to remember about profit margins: A business can appear very profitable on a percentage basis but not generate great piles of money–especially if the principals are pulling out every last dollar to cover private-school tuition fees and summer-home mortgages.
There are also tax reasons to play with recorded salaries. Many small businesses are structured as “pass-through” entities, such as S corps and limited liability companies (as opposed to C corporations, as publicly traded firms are). That means the income “passes” straight to shareholders, who then pay taxes on it at their ordinary income rate, thus avoiding the corporate tax. (Losses flow through, too, allowing shareholders to offset income from other sources.)
For more on understanding the paths (and roadblocks) to greater profitability, check out The 20 Most Important Questions In BusinessThe 10 Questions You Should Never Stop Asking and The 10 Ingredients Of A Great Business Plan.

NINE[9]TYPES OF INTELLIGENCE

1. Linguistic intelligence reflects the ability to read, write, tell stories, and learn languages, grammar, and syntax. Strengthen this ability by studying a new language, improving vocabulary, and writing.

2. Your friendly computer programmer has logical-mathematical intelligence. She’s comfortable with numbers, logic, reasoning, and abstractions. To increase logical ability, get a book of logic games, knit a sweater, and learn computer programming. Or watch a movie on video, and stop it to predict what will happen.

3. Those with strong musical intelligence are sensitive to sounds, tones, rhythms, pitch, musical keys, and structure of the songs (from verse and chorus to symphonies). Borrow different types of music CDs, sing with the radio, be quiet and listen to the sounds around you.

4. Those with strong spatial intelligence can imagine, understand, and represent the visual-spatial world. They may have a good sense of direction, hand-eye coordination, and visual memory. Some people, for instance, can visualize how furniture fits in a room without measurements, or buy a scarf that matches the blue in a blouse at home (perfect “chromatic pitch.”) To strengthen your spatial intelligence, be a backseat driver and provide directions for a trip, fit the groceries in the bag or the car, play with jigsaw puzzles and mazes, build some Lego’s, or sculpt some clay.

5. Remember Gene Kelly performing “Gotta Dance!” in Singing in the Rain? He had bodily-kinesthetic intelligence, as do athletes, builders, actors, or surgeons (if they have fine motor skills). Yoga is a great way to increase this ability. Make crafts or build, ride a bike, dance, and learn tai chi or other sports.

6. Someone with interpersonal intelligence is good at organizing people and is aware of moods and motivations. He or she can communicate and lead well. To get more people skills, practice active listening—that is, repeat back what you think someone said. Learn about the types of personalities with the Myers-Briggs test (psychological preferences such as extraversion and introversion) or the Enneagram (a theory of nine personality types—possibly centuries old).

7. Intrapersonal intelligence is the ability to be self-aware and explore emotions, goals and motivations. This perspective on the human condition is used by writers, philosophers, psychologists, and theologians. To improve your intrapersonal intelligence, “know thyself”—write in a journal, meditate, try the personality tests mentioned above.

8. Individuals with green thumbs and “horse whisperers” have naturalistic intelligence. They are sensitive to nature and may easily recognize and classify species. To get more naturalistic intelligence, expose yourself to the great outdoors: plant a seed, volunteer at an animal shelter, take a walk with a naturalist at the park, read about classifications of animals (kids’ books can be a great place to start).

9. Spiritual or existential intelligence fits all Dr. Gardner’s criteria except for association with a specific brain specialization—though this intelligence could be a whole-brain function. Those with this ability explore questions about life, death, and what lies beyond the subjective perspective. Prayer and meditation increase whole-brain communication and lessen the blood flow to the parietal lobes (which give a subjective sense of time and space). Explore what lies beyond through inquiry, reading, or talking with others.
 



SOURCE  INVISIBLE,  JAMII FORUMS

JOKES [A KIKUYU MAN ]

There was once  a Kikuyu man called Kamau who was Involved in a car accident.  At the hospital, when he awoke, he called for the nurse to tell him what had happened to him.

"I'm very sorry, sir, but  you were involved in a very bad car crash".
"Car crash! My MB M W! My MB  M! is my car all right?" he asked  hysterically.

"Sir, your car was destroyed, but that is the least  of your worries you lost your left arm & right leg in the  crash, and we were unable to save it he  said apologetically.

"I rost my arm? My Rorex! My  Rorex!" My leg gosh nilikuwa na pesa kwa soksi. Ngai "Sir, please calm down. That is the least of your
worries. You are in a very critical condition,  but all your family is here to see  you".

He asked for his family to be called in. As  they gathered around the bed, he called for each of them by name.

"Wairimu, are you  here?"

"I am here husband, and I will never leave  you"

"Kamau jnr, are you here?"

"I am here father, and I  will never leave you."

"Wanjiku, are you here?"

"I am here father, and I will never leave  you."

Riu tondu mukire inyuothe ri, nuu wi nduka-ini?.................
Meaning…………………...
"So, if you are all here who is at the  shop???"

NAFASI ZA KAZI UDOM

UNIVERSITY OF DODOMA EMPLOYMENTS (ACADEMIC STAFF)

The University of Dodoma invites applications from suitably qualified Tanzanians to fill the following positions.

1. Tutorial Assistants (52 positions)

QUALIFICATIONS:
This is a training post. Applicants must possess at least a Bachelors degree with a GPA of 3.8 and above and for unclassified degrees, overall average of B grade or above.

2. Assistant Lecturers (46 positions)

QUALIFICATIONS:
Applicants must be holders of Bachelors degree with overall GPA of 3.8 or above and a B+ average in their Masters Degree. For Science based fields and Law; Bachelors degree of GPA 3.5 may also be considered.

3. Lecturers (25 positions)

QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE:
Applicants must be holders of a PhD from a recognized University plus Masters and Bachelors Degree with appropriate GPA’s.

4. Senior Lecturers (21 positions)

QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE:
Applicants must be holders of a PhD from a recognized University plus Masters and Bachelors Degree with appropriate GPA’s. Applicants must have at least 4 publications since his/her last promotion. 50% of the publications i.e. papers, articles must be published in international or refereed journals. In case of the co-authored paper, 50% of those publications, he/she must be the main
author.

5. Associate Professors (6 positions)

QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE:
Applicants must be holders of a PhD from a recognized University plus Masters and Bachelors Degree with appropriate GPA’s with at least 5 Years experience in teaching, research and consultancy.

Applicants must have at least 6 publications since his/her last promotion. 70% of the publications i.e. papers, articles must be published in refereed journals. In case of the coauthored paper, 50% of those publications, he/she must be the main author in case of the coauthored paper. Must have at least 2 papers in refereed international journals.

6. Full Professors (14 positions)

QUALIFICATIONS AND EXPERIENCE:
Applicants must be holders of a PhD from a recognized University plus Masters and Bachelors Degree with appropriate GPA’s with at least 5 Years experience in teaching, research and consultancy.
Applicants must have at least 6 publications since his/her last promotion. 70% of the publications i.e. papers, articles must be published in refereed journals. In case of the coauthored paper, 50% of those publications, he/she must be the main author in case of the coauthored paper. Must have at least 2 papers in refereed international journals Successful candidates for all the positions will be expected to:
  1. Teach undergraduate and postgraduate students
  2. Conduct research and publish in their fields of specialization
  3. Conduct seminars
  4. Provide consultancy and public services in their fields of specialization
  5. Attend any other duties as may be assigned by the respective Heads of Department/Other University Organs.

REMUNERATION
Attractive remuneration packages will be offered to successful candidates in accordance with Government Circular from the Treasury Registrar and other terms and conditions applicable to the Public Service.

MODE OF APPLICATION:
Applications must be accompanied with detailed Curriculum Vitae, relevant copies of certificates i.e.
Degree certificates /testimonials, academic transcripts and secondary School certificates; names and addresses of at least three referees and mode of communication, e.g. telephone, telefax and email.
Complete application packages should be submitted to:
The Deputy Vice Chancellor (Academic, Research and Consultancy),
The University of Dodoma,
P.O. Box 259, Dodoma, Tanzania.
FAX: +255-026-2310005,
E-MAIL: dvc-arc@udom.ac.tz

Closing date is THREE (3) WEEKS from the date of the first appearance of this advertisement.

(Appeared on 19-May-2011 in the UDOM WEBSITE)

WARAKA WA BASHE KWA C C NA SEKRETARIETI MPYA YA C C M

Kwanza nianze kwa kuwapongeza kwa uteuzi mliopata na kuwatakia kila
kheri kwa imani hiyo mlopewa na NEC ya chama chetu .

Pili nitumie fursa hii kumpongeza Mwenyekiti kwa kuendesha kikao
ambacho leo kimetuletea PICHA mpya ya vijana na Wazeee katika CC na
Sekretariet ya chama na kuzaliwa upya kwa ccm kwa maana ya HISTORIA
KUANDIKWA kutokana na maamuzi yaliyofikiwa Dodoma.

Ningependa kutumia nafasi hii kuwaambia viongozi wetu sasa ni wakati
wa chama kukabiliana na changamoto zinazotukabili hatua hii, ya sura
mpya haijamaliza bado matatizo yanayotukabili kama chama kinachoongoza
taifa hili,na msirudie makosa yaliyofanyika toka kipindi cha 1995
mpaka leo ya chama kubaki na kufanya siasa za PERSONALITIES na kuacha
siasa za ISSUE na Nguvu nyingi kuzipeleka katika Formular ya Character
assasination ambayo kwa muda mrefu imekiumiza chama na kutufanya
kufika hapa tulipo leo ambapo viongozi wote wachama walichafuka na
kukosa heshima katika PUBLIC jambo ambalo lilitugharimu kwa Muda
Mrefu.

NAPE na JANUARY ni uwakilishi wa vijana katika nafasi nyeti mlizopewa
na mnawakilisha vijana wengi,binafsi nina imani kubwa na nyie bcs sina
shaka juu ya uwezo wenu wa kusimamia mambo magumu hata kama wengine
hawayapendi,changamoto kubwa mlionayo na kuthibitisha matendo yenu
yaendane na vijana wa sasa,mawazo yenu yaendane na vijana wa
sasa,fikra na issues mtakazo simamia zifananne na ziwakilishe asilimia
60 ama 70 ya watu wa nchi hii ambao ni VIJANA,msiishi kama
waliotangulia hatutarajii na nyie kuiendesha CCM kwa mfumo wa NIDHAMU
YA WOGA,ama mfumo wa kiuchaguzi uchaguzi jambo ambalo limekiumiza
chama chetu kwa kiwango kikubwa January IDARA YAKO INAITWA IDARA YA
SIASA NA MAMBO YA NJE alikukabidhi majukumu alijikita mambo ya nje na
kuacha fuction ya siasa.

CC na Sekretariet huu ni wakati wa kuisimamia SEREKALI ili itimize
matarajio ya watanzania wengi,mnawajibu wa kuhakikisha mkataba wetu na
watanzania ambao ni ilani ya uchaguzi inasimamiwa na inatekelezwa
umefika wakati sasa wa chama kuwa kiranja mkuu wa serekali kwani
tuloshinda ni ccm na serekali ni AGENT wa chama kutekeleza yale ambayo
tuliwaahidi watanzania,its a high time muwe na utaratibu wa ku
evaluate serekali na msisite kumshauri RAIS kumwambia hapa waziri
flani hatekelezi wajaibu wake NEC iwe sehemu ya kuevaluate perfomance
ya serekali kila QTR mfumo wa utendaji usiwe wa KI IYENA IYENA the
world has changed na Variables zimebadilika sana,CC lazima iwe THINK
TANK chama na si vikao vya kuchuja wagombea na kupitisha yale ambayo
mwenyekiti anataka ama anashauri,lazima dhana ya kuhoji ichukue nafasi
chama lazima kikemee pale serekali inapokosea msisite kuiambia
serekali hili hapana halikuwa sehemu ya AHADI zetu LAZIMA kila jambo
chama kiwe na uhakika serekali inapotaka kutekeleza imejiandaa
kulitekeleza tusikosee ku hanlde issue kama tulivyokosea ku HANDLE
issue ya katiba, na hapa nipongeze uamuzi wa kufuta HATI ya DHARURA
ktk sheria hii inayohusu mchakato wa katiba.

Chama kina tatizo kubwa la COMMUNICATION STRATEGY we hope JANUARY na
NAPE mtabadili mfumo wetu wa kujibu mambo kwa mzaha na kejeli ma na
mazoea muubadili ili HOJA ZIJIBIWE KWA HOJA, NAPE usirudie wala
kufanya makosa ya kuwatumia watu wasio kuwa na HESHIMA kwenda ktk
PUBLIC kujibu hoja yoyte inayohitaji THINKING, usiruhusu jambo
litakalo haribu heshima ya chama kwa hoja tu MBONA WAO WANATUZOMEA NA
SISI TUKUSANYE WATOTO WAKAZOMEE ,now CCM must act obave diry politics
bcs dhamana ya nchii hii ipo mikononi mwetu si lazima kujibu tusi kwa
tusi.

CC na Sekretariet,mnajukumu la kuibana serekali na kuisimamia
kuhakiksha uchumi unakua,ajira zinapatikana,mfumuko wa bei unatafutiwa
njia za kuudhibiti,mawaziri wanafanya kazi na kutoka
LIKIZO,wanasimamia majukumu yao na kufanya maamuzi magumu bila
kusubiri kila JAMBO mpaka RAIS alitolee majibu,lazima kuwepo
PERFOMANCE APPRISSAL system ambayo chama kitatumia kupima utendaji wa
mawakala wake ambao ni serekali,leo bei ya mafuta imepanda,vyakula
vimepanda,thamani ya shilingi inashuka,maisha yanakuwa magumu kwa
watanzania wengi,sekta ya elimu inachangamoto nyingi za kisera,na
kimfumo,chama kinahitaji WELEDI katika kusimamia serekali na hilo ni
jukumu ambalo lazima mlifanye.

Mnawajibu wa kusimamia PARTY COCUS ili bunge litumike katika ubora
wake na wabunge wetu muwanoe ili kukidhi standards za kusimamia hoja
na ilani ya chama.

Nidhamu hasa kwa watendaji katika ngazi za wilaya na mikoa ni wajibu
wenu kuhakikisha huko chini tatizo la RUSHWA ndani ya mfumo mzima wa
chama linakwisha vijana wengi wanashindwa kukipenda chama chetu kwa
kuwa huko chini kuna MIUNGU WATU,ni lazima CONCEPT ya utumishi ichukue
nafasi ili wenyeviti wetu na makatibu wetu wasiwe wafalme wasimamie
COUNCIOUL ili zitekeleze ilani ya uchaguzi kwani HUO NDIO MKATABA WETU
NA WATANZANIA.

Mwisho niwaombe CCM IMEUMIA SANA KWA POLITICS ZA CHARACTER
ASSASINATION ,POLITICS ZA PERSONALITIES na kuacha kusimamia mambo ya
msingi yanayowaumiza watanzania wengi,RUSHWA,(UFISADI),Tatizo la
UADILIFU,UKOSEFU WA UZALENDO,ni udhaifu wetu wa kutosimamia MAADILI YA
VIONGOZI na hasa tulipofuta AZIMIO LA ARUSHA,hatuna GUIDELINE juu ya
maadili ya VIONGOZI na wanachama,umefika wakati wa chama kulitazama
upya AZIMIO LA ARUSHA ambalo tuliamua kulifuta na kulizika chama
kiamue kulitazama tena kulirudisha pia kufanya mabadiliko pale
tunapoona linahitaji,but MSINGI wa azimio la arusha TUNAUHITAJI TENA.

Mwigulu una mzigo mkubwa wa ku reforme mfumo wetu wa uchumi ndani ya
chama ni wajibu wako kupitia idara yako kuzifanyia audit mali za ccm
ili ktk ngazi za wilaya,mikoa,kata,na mashina tuwe na uwezo wa
kiuchumi kuondokana na tabia ya kutegemea wafadhili na wafanyabiashara
mawilayani na mikoani ili kuwapa uwezo watendaji wetu na viongozi
kufanya maamuzi yanayohusu mustakabali wa chama chetu.

Politics ni uchumi if we are weak economically na sisi kutegemea
RUZUKU CCM tutakuwa na hali mbaya ni wajibu wako kufufua miradi
iliyowahi kufa na kuisimamia kiukamilifu ,tunaviwanja vingi ni wakati
wa kuanzisha Strategic ptnership na mashirika kama NHC na mengine ili
kuwekeza ktk real estate, ALL IN ALL LAZIMA MZEE UPAMBANE . ALL THE
BEST

Niwatakie kila la kheri ktika utekelezaji wenu wa majukumu na mfahamu
kuwa matarajio ya wana ccm ni kubwa sana ninawaombea kwa mungu kila la
kheri MUNGU IBARIKI TANZANIA.MUNGU IBARIKI CC

Thursday, May 5, 2011

KARIBUNI

Karibuni wadau katika uwanja wa mijadala mbalimbali ya kisiasa, uchumi, dini, michezo, nakadhalika.
Tubishane, tujadiliane na tuelimishane kwa nguvu ya hoja zetu,tupingane bila kupigana.
KARIBUNI